Lengo Langu ni Kukusaidia Kutengenza Pesa Kupitia Biashara ya Network Marketing Mapema Iwezekanavyo...
KARIBU Lusabara.com
Tovuti Inayokupa ELIMU, MBINU & ZANA za Kisasa Uweze Kujenga Biashara ya Network Marketing Kupitia INTANETI na kuyafikia MALENGO yako mapema iwezekanavyo...
Kwanza kabisa, napenda nichukue fursa hii kutoa shukrani zangu kwako kuweza kufika mahali hapa. Ni matumaini yangu unayo shauku kubwa ya kutaka kujifunza jinsi ya kunufaika na teknolojia ya INTANETI kwa mazingira yetu.
Ahadi yangu kwako, ENDAPO utafuata mafundisho yote yanayopatikana katika tovuti hii, inaweza kukuchukua mwaka 1- 2 kutimiza malengo ambayo pengine ingekuchukua miaka 10 kupitia mbinu za kizamani!Â
Kumbuka lengo langu… kukusaidia kutengeneza PESA haraka iwezekanavyo kupitia biashara ya Network Marketing kwa msaada wa INTANETI!
Niwa-WhatsApp:
+255 743 971 531

Usikubali Kupitwa na Hii...
Imepatikata njia RAHISI ya kupata watu wa kujiunga na biashara yako ya Network Marketing kutumia Intaneti –Hakuna Kukataliwa – pasipo kupoteza MUDAÂ na FEDHA zako kwa watu ambao hawatanunua bidhaa wala kujiunga na biashara yako…
FAIDA za kufanya kazi na Lusabara?
Hey, siko hapa kukuuzia chochote ama kukushawishi kwa namna yoyote, isipokuwa natambua hili… Wakati wengine wakikupa MBINU za kukutana na kuongea na watu 10 kwa siku ana kwa ana, mimi pamoja na timu yangu tunakupa MBINU na ZANA tunazotumia kuwafikia watu 1,000 katika masaa 24/7 ukiwa nyuma ya kompyuta yako… Hivi ni nani aliye na nafasi ya kufanya vizuri… anayeongea na watu 10 au 1000 kwa siku? UCHAGUZI NI WAKO! Lakini, hebu fikiria unapata ZANA hizi BURE!

Kurasa za Mauzo
Utapewa kurasa za mauzo (sales funnels) kwa ajili ya bidhaa

Zana za Kazi
Utapewa zana za kazi tunazotumia kurahisisha mchakato wa biashara

Mafunzo
Utapewa msaada na mafunzo ya hatua kwa hatua ya kutumia zana!
Nini Utofauti Wetu na Networkers Wengine?
Wao (Old-School)
Wanaotumia MBINU za kizamani
- Wanatembeza biadhaa maofisini.
- Wanaandaa orodha ya majina ya watu waowafahamu.
-
Wanaalika watu kuhudhuria mikutano
(Business Opportunity Meetings). - Wanaongea na watu 10 kwa siku
Sisi (New-School)
Wanaotumia TEKNOLOJIA
- Tunauza bidhaa kupitia sales funnels.
- Tunatumia intaneti kunasa wateja wanaopendezwa na biashara yetu.
- Tunafanya Webinars na kutumia teknolojia kuwafikia huko waliko.
- Tunawafikia mamia na maelfu ya watu kwa siku
Tuna Sababu Milioni 1 za ni Kwanini Tunatumia INTANETI Badala ya Kuwinda Watu Mitaani na Maofisioni...
Ni rahisi na wazi kwamba matumizi ya intaneti katika miaka 10 iliyopita yameongezeka kwa zaidi ya asilimia 600%. Watumiaji wa intaneti wanakadiriwa kufikia zaidi ya bilioni 3 duniani kote. Swali ni Je, kwa nini utumie MUDA, FEDHA na NGUVU zako kuwinda watu mitaani na maofisini ambao tayari wanatumia INTANETI?
Hebu cheza video hapa chini kujionea SOKO linalokusubiri…
tahadhari!
Inakupasa Ufanye Kazi Ili Uweze Kufanikiwa Kupitia Biashara ya
Hii ni biashara kama ilivyo biashara nyingine yoyote. Inakupasa ufanye kazi haswa pengine kuliko kawaida… hivyo wakimbie watu wanaoeneza uvumi kwamba ni biashara rahisi isiyohitaji ujuzi! HAKUNA KITU KAMA HICHO.
Lusabara, nataka Biashara... Naanzaje?
Swali ambalo nimekuwa nikiulizwa mara kwa mara na watu ambao wanataka kuanza biashara pasina kusubiri… Haya NDO yamekuwa majibu yangu siku zote.
Jichunguze
Biashara ya Network Marketing si biashara ya lele mama. Jichunguze kama kweli uko tayari kuwa mjasiriamali.
Kianzio
Angalau uwe umetenga Tsh 1.2M kwa ajili ya kununulia bidhaa ambazo aidha utazitumia mwenyewe au unaweza kuziuza.
Nifahamishe
Ukiwa tayari nitakusajiri, kukutengenezea kurasa za mauzo, kukupa mafunzo na mpangilio wa software tunazotumia.
Ifanye Computer Kuwa Ofisi Yako
Je, uko tayari kujenga biashara ya Network Marketing kutumia INTANETI? Je! Unafanya biashara ya Network Marketing lakini unajitahidi kupata prospects au kufanya mauzo? Nimeandaa mfululizo wa mafunzo ya bure kwa njia ya barua pepe pamoja na vidokezo vya kukufundisha juu ya kile ninachojua kuanzia – kuuza bidhaa za digital mtandaoni kupitia blogu na masoko ya barua pepe.


Jiunge na mafunzo yetu ya kila wiki

Unatumia Facebook Kupata Wateja?
